Joseph Bilczewski
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Josef Bilczewski (26 Aprili 1860 – 20 Machi 1923) alikuwa askofu mkuu wa Lviv (leo nchini Ukraina) kuanzia mwaka 1900 hadi kifo chake, akijitahidi kwa upendo wenye ari kuinua maadili na ujuzi wa dini wa mapadri na waumini wa jumla wa jimbo lake la Kilatini[1][2][3]

Lakini pia alisaidia watu kwa kila namna wakati wote wa Vita vikuu vya kwanza, akajaribu kupatanisha Wapolandi na Waukraina waliochukiana na kupigana, akaendelea baada ya Wakomunisti kuteka nchi hizo mbili.[1][3]
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 26 Juni 2001 halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 23 Oktoba 2005.[2]
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads