Juma Hamad Omar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Juma Hamad Omar ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Ole kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Juma Omar alipata elimu yake ya msingi Skuli ya msingi Ngambwa (1960-1968) baadae kujiunga na elimu ya sekondari Fidel Castro (1969-1972) baadae elimu ya sekondari ya juu Lumumba (1973-1974).
Juma Omar alipata shahada yake ya mwanzo ya ualimu akibobea katika somo la fizikia chuo kikuu cha Dar es Salaam (1975-1978) na baadae kujiunga na chuo kikuu cha Reading (1980-1981) na kuchukua shahada ya uzamivu.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads