Juma Kombo Hamad

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Juma Kombo Hamad (amezaliwa 1 Januari 1977) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Wingwi kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads