Jungle Brothers

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jungle Brothers
Remove ads

Jungle Brothers ni kundi la muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Hawa hutazamwa kama waazilishi wa hip hop yenye mchanganyiko wa jazz na kuwa kama kundi la kwanza la hip hop kutumia muziki wa house katika hali ya hip-hop na kumtumia mtayarishaji wa muziki huo katika kazi zao. Kundi lilianza kutumbuiza katikati mwa miaka ya 1980 na wakafanikiwa kutoa albamu yao ya kwanza, Straight Out the Jungle, mnamo mwezi wa Julai 1988.[1] Kwa mtindo wa kutengeneza biti na mashairi yenye asili ya Kiafrika, kina Jungle Brothers wakawa maarufu mno na punde wakaungana na kundi lenye athira kubwa katika hip hop la Native Tongues.[2] Wanachama wa awali unaunganishwa na Michael Small (Mike Gee), Nathaniel Hall (Afrika Baby Bam, kwa heshima ya Afrika Bambaataa) na Sammy Burwell (DJ Sammy B). Sammy B aliondoka kundini baada ya kundi kutoa Raw Deluxe in Mei 1997.[1]

Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Asili yake ...
Remove ads

Diskografia

  • Straight out the Jungle (1988), Warlock
  • Done by the Forces of Nature (1989), Warner Bros.
  • J Beez Wit the Remedy (1993), Warner Bros.
  • Raw Deluxe (1997), Gee Street/V2/BMG Records
  • V.I.P. (2000), Gee Street/V2/BMG Records
  • All That We Do (2002), Jungle Brothers
  • You in My Hut Now (2003), XYZ
  • This is... (Greatest hits) (2005), Nurture Records/Groove
  • I Got You (2006), Pinoeer Records[1]

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads