Kajala Masanja

Mwigizaji From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kajala Masanja (alizaliwa 1985) ni mwigizaji wa filamu katika nchi ya Tanzania.[1]

Alionekana na Steven Kanumba katika filamu ya mwaka 2012 Kijiji Cha Tambua Haki.

Aliolewa na mfanyakazi ya benki wa zamani Faraji Chambo.[2][3] Pia ni mama wa mtoto mmoja anayeitwa Paula. Kwa sasa ameolewa na Harmonize.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads