Kadıköy

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kadıköy
Remove ads

Kadıköy ni mji na wilaya iliopo katika Mkoa wa Istanbul kwenye Kanda ya Marmara huko nchini Uturuki.

Thumb
Meli mbili huko Kadıköy na stesheni ya treni ya Haydarpaşa kwa nyuma.

Katika historia ya Kanisa ni maarufu kama Kalsedonia (Chalcedon): huko ulifanyika Mtaguso Mkuu wa mwaka 451 (Mtaguso wa Kalsedonia).

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kadıköy kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads