Kamanda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kamanda (kutoka Kiingereza: Commander) ni cheo cha afisa wa nevi na jeshi la anga kilicho chini ya Nahodha na juu ya Luteni Kamanda.

Cheo cha kamanda pia hupatikana katika baadhi ya vikosi vya polisi.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
