Kandamseto

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kandamseto
Remove ads

Kandamseto au kanda-iliyofanywa-mseto ni ainasafu ya jina lililotolewa kwa ajili ya nyimbo mchanganyiko zilizorekodiwa katika muundo wa sauti.[1]

Thumb
Haramia ya kandamseto za awali yenye nyimbo 8 kunako mwaka wa 1974
Thumb
Bweta la audio cassette

Kandamseto, ambayo kikawaida hutumika kama jaribio la kimuziki kwa muandaaji wake, inaweza kupangwa kutoka katika orodha ya nyimbo anazozipenda, hadi mseto wa dhana ya nyimbo zinazofungamana na fasihi au hali ya kutaka kitu kile ambacho mlewanga anataka kusikiliza. [2] Kandamseto, nayo huhesabiwa kama sehemu ya utamaduni wa hip hop.

Remove ads

Tazama pia

Muziki portal

Marejeo

Soma zaidi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads