Kangundo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kangundo ni mji wa Kenya katika kaunti ya Machakos.

Wakazi walikuwa 218,557 (pamoja na Tala, ambayo ni sehemu ya halmashauri ya mji) wakati wa sensa ya mwaka 2009[1].
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads