Kanuni ya Kirumi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kanuni ya Kirumi ni jina la tangu zamani la Sala ya Ekaristi I ya Misale ya Kanisa la Roma inayotumiwa na Wakatoliki karibu wote kuadhimisha Misa.
Kanuni hiyo imebaki karibu sawa tangu karne ya 7. Inaundwa na mshono wa sala fupifupi zinazotangulia na kufuata simulizi la Karamu ya mwisho.[1]
Mabadiliko ya mwisho yalifanywa na Papa Yohane XXIII[2] halafu hasa na Papa Paulo VI[3] Hata hivyo hati Summorum Pontificum ya Papa Benedikto XVI imeruhusu wanaopenda kutumia kanuni kama ilivyorekebishwa na Papa Yohane XXIII.[4]
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads