Kasa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kasa
Remove ads

Kasa ni aina za makobe wakubwa kiasi wanaoishi baharini. Hutaga mayai yao katika mchanga wa fuko za kanda za tropiki na nusutropiki. Kama makobe wote kiwiliwili cha kasa kimefunikwa kwa gamba gumu liitwalo galili, lakini hawawezi kuvuta kichwa na miguu ndani ya galili.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Familia Dermochelyidae

Remove ads

Picha

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kasa kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads