Kobe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kobe
Remove ads
Remove ads

Makobe ni wanyama wadogo hadi wakubwa wa oda Testudines katika ngeli Reptilia. Spishi zinazoishi baharini huitwa kasa.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Kiwiliwili chao kimefunikwa kwa gamba gumu liitwalo galili. Kwa kawaida galili hii ni yabisi, lakini kuna spishi zilizo na galili nyumbufu, zote spishi za maji. Kichwa, miguu na mkia inachomoza kutoka galili lakini katika spishi nyingi inaweza kuvutwa ndani, spishi za nchi kavu hasa.

Remove ads

Spishi za Afrika ya Mashariki

Cryptodira

Familia Dermochelyidae

Familia Testudinidae

Familia Trionychidae

Cryptodira

Remove ads

Picha

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads