Kastulo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kastulo (alifariki Roma, Italia, 286 hivi) alikuwa Mkristo wa Roma ya Kale aliyeuawa kwa kuzikwa hai wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Inasemekana alikuwa na cheo katika ikulu na mume wa Irene wa Roma. Baada ya kuongokea Ukristo alivuta wengi katika dini hiyo[2] na kuficha nyumbani mwake waliotafutwa na serikali kwa ajili ya imani yao[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads