Kastulo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kastulo
Remove ads

Kastulo (alifariki Roma, Italia, 286 hivi) alikuwa Mkristo wa Roma ya Kale aliyeuawa kwa kuzikwa hai wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Thumb
Sanamu yake huko Moosburg.

Inasemekana alikuwa na cheo katika ikulu na mume wa Irene wa Roma. Baada ya kuongokea Ukristo alivuta wengi katika dini hiyo[2] na kuficha nyumbani mwake waliotafutwa na serikali kwa ajili ya imani yao[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Machi[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads