Katharine Drexel

From Wikipedia, the free encyclopedia

Katharine Drexel
Remove ads

Katharine Marie Drexel (26 Novemba 18583 Machi 1955) alikuwa bikira wa Marekani, mwanzilishi wa shirika la Masista wa Ekaristi Takatifu (kwa Kiingereza Sisters of the Blessed Sacrament).

Thumb
Picha yake halisi.
Thumb
Kuingia patakatifu pa Mt. Katharine Drexel huko Bensalem, Pennsylvania, Marekani.

Jumuiya hiyo kwanza ililenga hasa kuwainua Wahindi Wekundu na Wamarekani weusi huko Marekani. Kwa ajili yao alitumia kwa ukarimu na upendo urithi wake mwenyewe [1].

Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 20 Novemba 1988 na mtakatifu tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yake ni tarehe 3 Machi[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads