Kaunti ya Baringo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaunti ya Baringo
Remove ads

Kaunti ya Baringo ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Thumb
Ramani ya Kaunti ya Baringo,Kenya

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 666,763 katika eneo la km2 10,976.4, msongamano ukiwa hivyo wa watu 61 kwa kilometa mraba[1]..

Makao makuu yako Kabarnet.

Utawala

Kaunti ya Baringo ina maeneo bunge yafuatayo[2]:

Remove ads

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]

  • Baringo Central 96,951
  • Baringo North 104,871
  • East Pokot 79,923
  • Koibatek 129,535
  • Marigat 90,955
  • Mogotio 91,104
  • Tiaty East 73,424

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads