Kaunti ya Baringo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kaunti ya Baringo ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 666,763 katika eneo la km2 10,976.4, msongamano ukiwa hivyo wa watu 61 kwa kilometa mraba[1]..
Makao makuu yako Kabarnet.
Utawala
Kaunti ya Baringo ina maeneo bunge yafuatayo[2]:
Remove ads
Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]
- Baringo Central 96,951
- Baringo North 104,871
- East Pokot 79,923
- Koibatek 129,535
- Marigat 90,955
- Mogotio 91,104
- Tiaty East 73,424
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads