Kabarnet
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kabarnet ni mji wa magharibi mwa Kenya, kaunti ya Baringo, katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Mji upo mita 1,815 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Una wakazi 27,278 (2009).
Kabarnet ni kata ya eneo bunge la Baringo ya Kati[1].
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads