Kabarnet

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kabarnet
Remove ads

Kabarnet ni mji wa magharibi mwa Kenya, kaunti ya Baringo, katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.

Thumb
Barabara Iten-Kabarnet.
Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...

Mji upo mita 1,815 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Una wakazi 27,278 (2009).

Kabarnet ni kata ya eneo bunge la Baringo ya Kati[1].

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads