Kaunti ya Kericho

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaunti ya Kericho
Remove ads

Kaunti ya Kericho ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Thumb
Ramani ya Kaunti ya Kericho, Kenya

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 901,777 katika eneo la km2 2,436.1, msongamano ukiwa hivyo wa watu 370 kwa kilometa mraba[1]. Makao makuu yako Kericho.

Utawala

Kaunti ya Kericho imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:

Remove ads

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]

  • Belgut 145,072
  • Bureti 199,470
  • Kericho East 170,625
  • Kipkelion 122,530
  • Londiani 137,580
  • Soin Sigowet 126,500

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads