Kaunti ya Kericho
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kaunti ya Kericho ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 901,777 katika eneo la km2 2,436.1, msongamano ukiwa hivyo wa watu 370 kwa kilometa mraba[1]. Makao makuu yako Kericho.
Utawala
Kaunti ya Kericho imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:
Remove ads
Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]
- Belgut 145,072
- Bureti 199,470
- Kericho East 170,625
- Kipkelion 122,530
- Londiani 137,580
- Soin Sigowet 126,500
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads