Londiani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Londiani ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki, kaunti ya Kericho.
Wakati wa sensa ya mwaka 2009, mji ulikuwa na wakazi 44,953[1].
Londiani ni kata ya Eneo bunge la Kipkelion Mashariki[2].
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads