Londiani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Londiani ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki, kaunti ya Kericho.

Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...

Wakati wa sensa ya mwaka 2009, mji ulikuwa na wakazi 44,953[1].

Londiani ni kata ya Eneo bunge la Kipkelion Mashariki[2].

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads