Kaunti ya Kitui

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaunti ya Kituimap
Remove ads

Kwa makao makuu, soma Kitui

Ukweli wa haraka Nchi, Nambari ...

Kaunti ya Kitui ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,136,187 katika eneo la km2 30,429.5, msongamano ukiwa hivyo wa watu 37 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Kitui.

Remove ads

Jiografia

Kaunti ya Kitui inapakana na kaunti za Tana River, Taita Taveta, Makueni, Machakos, Embu na Tharaka Nithi. Ina hali ya tabianchi kavu na nusu kavu. Ina vilima na ardhi tambarare. Kitui hupata misimu miwili ya mvua, Machi hadi Mei na Oktoba hadi Disemba.

Utawala

Kitui imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:

Remove ads

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3]

  • Ikutha 82,964
  • Katulani 47,108
  • Kisasi 46,142
  • Kitui Central 105,991
  • Kitui West 70,871
  • Kyuso 76,867
  • Lower Yatta 63,329
  • Matinyani 47,811
  • Migwani 79,255
  • Mumoni 29,344
  • Mutitu 55,287
  • Mutitu North 21,215
  • Mutomo 113,356
  • Mwingi Central 108,713
  • Mwingi East 85,139
  • Nzambani 46,788
  • Thagicu 15,136
  • Tseikuru 40,871

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads