Kitui
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kitui ni makao makuu ya kaunti ya Kitui, Kenya[1].

Wakati wa sensa ya mwaka 2009, mji huo ulikuwa na wakazi 155,896[2].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads