Kenya Airways

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kenya Airways
Remove ads

Kenya Airways ni kampuni ya ndege ya taifa ya Kenya yenye makao makuu jijini Nairobi. Kampuni hii ilianza kufanya kazi zake mwaka 1977 baada ya kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kulikopelekea kuvunjika kwa "East African Airways". Hivi sasa kampuni hii inatoa huduma barani Afrika, Ulaya na India. Kampuni hii ina safari nyingi za ndege nje ya Afrika kuliko kampuni yoyote barani Afrika. Kampuni hii ilikuwa ikimilikiwa asilimia 100 na serikali ya Kenya mpaka mwaka 1996.

Ukweli wa haraka IATA KQ, ICAO KQA ...
Thumb
Kenya Airways Boeing 777-200ER
Remove ads

Angalia pia

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads