Khatumo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Khatumo
Remove ads

Khatumo (kwa Kisomali: Dowladda Khatumo ee Soomaaliya, Dola la Khatumo katika Somalia) ni jimbo la kujitegema la Somalia.

Thumb
Mahali pa Khatumo katika Somalia na kwenye Pembe la Afrika; buluu nyeupe inaonyesha sehemu zake zisizokubaliwa na majirani

Jimbo hilo liko kaskazini-mashariki mwa Somalia, kwenye ncha ya Pembe la Afrika. [1]

Thumb
Mahali pa Puntland katika Somalia na kwenye Pembe la Afrika

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads