Kiapo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kiapo
Remove ads

Kiapo (kutoka kitenzi kuapa; kwa Kiingereza: oath) ni tamko la nguvu kuhusu ukweli ama wa ushahidi ama wa ahadi uliotolewa au utakayotolewa.

Thumb
Henry Kissinger akiweka mkono juu ya Biblia ya Kiebrania atoe kiapo cha kuwajibika kama Katibu wa nchi ya Marekani, 1973.

Mara nyingi kinatolewa kwa msingi wa dini ya mhusika ili ajifunge au ajisikie amebanwa zaidi.

Marejeo

  • Bailey, Cyril (1907). The Religion of Ancient Rome. London, UK: Archibald Constable & Co. Ltd. (Source: Project Gutenberg. Accessed: March 16, 2011)

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Ukweli wa haraka
Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiapo kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads