Kidodi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kidodi ni kata ya Wilaya ya Kilosa katika Mkoa wa Morogoro, Tanzania.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 6,638 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,106 waishio humo. [2]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads