Kidole gumba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kidole gumba

Kidole gumba ni kidole cha kwanza mkononi. Kidole hiki ni tofauti na vidole vingine kwa sababu mwelekeo wake ni wa pekee. Kina viungo vichache pia ni kifupi. Kinatuwezesha kushika vitu.

Thumb
Majina ya vidole vya mkono:
1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho
Thumb
Kidole gumba

Katika tamaduni mbalimbali kuonyesha kidole gumba kuna maana ya furaha; kwa mfano kumkubali mtu, kumwambia: Umefanya vizuri au pia kumwonyesha: mimi sijambo, sina matata.


Maelezo zaidi Sehemu za Mkono wa binadamu ...
Funga
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.