Kiganja
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kiganja (pia: kitengele) ni sehemu ya mwisho ya mkono inayoishia kwa vidole. Inaunganishwa kwa kifundo cha mkono na kigasha. Mguu una kiganja pia, lakini afadhali kiitwe uwayo au unyayo.

1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho

Binadamu huwa na viganja viwili, kila kimoja huwa kwa kawaida na vidole 5. Mtu hutumia kiganja na vidole vyake kwa kushika vitu na kutumia vifaa vingi. Kiganja cha mguu ni muhimu kabisa kwa kuweza kukaa wima na kutembea.
Sehemu ya ndani ya kiganja cha mkono ni kofi.
Mtu akikunja vidole pamoja na kiganja ngumi (sumbwi) inapatikana inayotumiwa kwa kupiga kwa ukali kwa mfano wakati wa mchezo wa ngumi.
Remove ads
Tazama pia
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads