Kidole cha kati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kidole cha kati
Remove ads

Kidole cha kati (pia: kikubwa, kirefu) ni kidole cha tatu mkononi. Kiko kati ya kidole cha shahada na kidole cha kati cha kando. Kwa watu walio wengi sana ni kidole kirefu mkononi.

Thumb
Kidole kikubwa
Thumb
Majina ya vidole vya mkono:
1 Kidole gumba, 2 Kidole cha shahada,
3 Kidole kirefu, 4 Kidole cha pete, 5 Kidole cha mwisho

Katika utamaduni mbalimbali ni mwiko kabisa kuonyesha kidole hiki kunatumiwa kwa kusudi la kutukana na kutusi. Lakini kwa wengine hakina maana mabaya hivyo kidole kinaweza kuwa chanzo cha kutoelewana vibaya.


Maelezo zaidi Sehemu za Mkono wa binadamu ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads