Kimandarini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kimandarini
Remove ads

Kichina ni lugha za Wachina nchini China na kote duniani wanapoishi. Ni tawi kubwa la kundi la lugha za Kichina-Kitibet.

Thumb
Kiwango cha asili cha Kimandarini nchini Uchina
Ukweli wa haraka Kimandarimi 汉语 / 漢語 普通话 / 普通話, Lugha ...

Kimandarini ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uchina inayozungumzwa na Wachina. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kimandarini nchini Uchina imehesabiwa kuwa watu milioni 840. Pia kuna wasemaji katika nchi zifuatazo: 24,320,000 nchini Taiwan (1993), 10,600 nchini Brunei (2006), 60,900 ndani ya Hong Kong (2006), 460,000 nchini Indonesia (1982), wengi nchini Malaysia ambapo ni lugha ya taifa (lakini bila idadi rasmi ya wasemaji), 35,000 nchini Mongolia (1993), 500,000 nchini Myanmar (1994), 500 nchini Ufilipino (1990), 1,210,000 nchini Singapuri (2010), na 5,880 nchini Uthai (1984). Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kimandarini iko katika kundi la Kichina.

Remove ads

Sauti na toni

Tabia ya pekee ya lugha za Kichina ni tofauti kubwa kati ya toni za sauti. Silabi "ma" inaweza kuwa na maana 4 tofauti kabisa kufuatana na matamshi tofauti ya toni.

Maelezo zaidi Toni ya 1, Toni ya 2 ...

Uenezi

Kimandarini ni lugha rasmi katika Jamhuri ya Watu wa China, Jamhuri ya China (Taiwan) na Singapuri. Husemwa pia na raia Wachina katika Indonesia na Malaysia.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimandarini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads