Kimbugimbugi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kimbugimbugi (kutoka “mbugi”: kengele ndogo) au mkandi (Dactyloctenium aegyptium) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Chloridoideae. Asili ya nyasi hili ni Afrika lakini sasa imewasilishwa au imesamba katika mabara mengine. Linaweza kuwa gugu shambani lakini ni malisho mazuri kwa wanyama wafugwao. Punje zake zinaweza kutumiwa ili kulisha kuku na huliwa na watu pia wakati wa uhaba wa chakula. Vilevile hutumika kwa kutengeneza pombe ya kienyeji.
Remove ads
Viungo vya nje
- Taarifa kutoka Feedipedia
- Taarifa kutoka PROTA Ilihifadhiwa 5 Machi 2016 kwenye Wayback Machine.
Picha
- Masuke
- Suke linalotoa maua (visuke vinafanana na mibugi)
- Masuke yenye punje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads