Kinorwei

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kinorwei (Kinorwei: norsk) ni lugha ya Kijerumaniki ya Kaskazini katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Ukweli wa haraka norsk, Pronunciation ...
Remove ads

Kinorwei kinasemwa na watu 4,700,000 hivi, na ni lugha rasmi nchini Norwei.

Kinorwei, Kiswidi na Kidenmark vinavyoitwa lugha za Skandinavia ya bara vinahusiana sana.

Kinorwei kina insha rasmi mbili: bokmål na nynorsk.

Remove ads

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kinorwei kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads