Kinorwei
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kinorwei (Kinorwei: norsk) ni lugha ya Kijerumaniki ya Kaskazini katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Kinorwei | ||
---|---|---|
norsk | ||
Pronunciation | [nɔʂk] | |
Inazungumzwa nchini | Norwei | |
Jumla ya wazungumzaji | 4,700,000 | |
Familia ya lugha | Lugha za Kihindi-Kiulaya
| |
Standard forms | Bokmål
Nynorsk
| |
Mfumo wa uandikaji | Alfabeti ya Kilatini | |
Hadhi rasmi | ||
Lugha rasmi nchini | Norwei | |
Hurekebishwa na | Språkrådet | |
Misimbo ya lugha | ||
ISO 639-1 | no | |
ISO 639-2 | nor | |
ISO 639-3 | nor | |
Note: This page may contain IPA phonetic symbols in Unicode. |
Kinorwei kinasemwa na watu 4,700,000 hivi, na ni lugha rasmi nchini Norwei.
Kinorwei, Kiswidi na Kidenmark vinavyoitwa lugha za Skandinavia ya bara vinahusiana sana.
Kinorwei kina insha rasmi mbili: bokmål na nynorsk.
Viungo vya nje
- makala za OLAC kuhusu Kinorwei
- Kinorwei katika tovuti ya Multitree
- lugha ya Kinorwei katika Glottolog
- lugha ya Kinorwei katika Ethnologue
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kinorwei kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.