Kirukanjia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kirukanjia
Remove ads

Virukanjia au mbarawaji ni ndege wa familia Caprimulgidae. Spishi nyingine zina majina kama gawa, mpasuasanda, pwaju, upapasa na rushana. Rangi yao ni kahawia au kijivu na madoa na michirizi meupe. Kuwaona ni kugumu, kwa sababu huruka usiku. Kwa kawaida watu huisikia sauti yao tu, lakini huonekana mara nyingi kwenye mwanga wa taa za mbele za gari. Huendelea kukaa chini hadi ya wakati wa mwisho kabla ya kupuruka; hii ni asili ya jina lao. Hukamata wadudu wa usiku wakiruka, kama nondo na kumbikumbi, lakini spishi kadhaa hula ndege wadogo pia. Jike huyataga mayai mawili chini.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads