Kisisili
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kisisili (kwa lugha hiyo: Sicilianu) ni mojawapo kati ya Lugha za Kirumi, ingawa asilimia 20 za maneno yake yana asili ya Kigiriki na Kiarabu.

Kilatini 2.792 (55,84%)
Kigiriki 733 (14,66%)
Kihispania 664 (13,28%)
Aina za Kifaransa 318 (6,36%)
Kiarabu 303 (6,06%)
Kikatalunya 107 (2,14%)
Kiprovenza 83 (1,66%)
Ndiyo ya kwanza kuwa na fasihi katika ya lugha za Italia.
Hadi leo inatumiwa na watu milioni 5 hivi, hasa katika sehemu kubwa kabisa ya kisiwa cha Sicilia, lakini pia Italia Kusini na kokote walikohamia wenyeji wa sehemu hizo.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads