Kisukari (samaki)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kisukari (samaki)
Remove ads

Visukari au haluwa ni samaki wadogo hadi wastani wa baharini wa jenasi Ariomma, jenasi pekee ya familia Ariommatidae katika oda Perciformes, wanaotokea maji ya kina kikubwa.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Pezimgongo la visukari limegawanyika katika mapezi mawili. Lile la mbele lina miiba 10-12 na lile la nyuma lina tindi 14-18. Kuna mikuku minono miwili kila upande wa msingi wa mkia. Urefu wao ni sm 20-35 na kipeo cha sm 80 (kisukari mapezi-mafupi).

Hula gegereka wadogo na planktoni wanyama.

Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi za Afrika

Picha

Marejeo

  • Rashid Anam & Edoardo Mostarda (2012) Field identification guide for the living marine resources of Kenya. FAO, Rome.
  • Gabriella Bianchi (1985) Field guide to the commercial marine brackish-water species of Tanzania. FAO, Rome.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisukari (samaki) kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads