Wilaya ya Kiteto

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Kiteto
Remove ads

Wilaya ya Kiteto ni wilaya mojawapo kati ya 7 za Mkoa wa Manyara.

Thumb
Mahali pa Kiteto (kijani) katika mkoa wa Manyara.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kiteto ilihesabiwa kuwa 152,757[1], wakati wa sensa ya 2002 walikuwa 244,669 [2] . Idadi imeongezeka tena katika sensa ya mwaka 2022 walipohesabiwa 352,305 [3].

Kiteto imepakana na wilaya ya Simanjiro upande wa kaskazini, upanda wa mashariki na mkoa wa Tanga na upande wa kusini na magharibi na mkoa wa Dodoma.

Makao makuu ya wilaya yako mjini Kibaya.

Wenyeji ni hasa Wamasai.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads