Kiuyu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kiuyu ilikuwa kata ya Wilaya ya Wete katika Mkoa wa Pemba Kaskazini, Tanzania.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,312 waishio humo. [1]

Tangu mwaka 2012 kata iligawiwa kuwa kata mbili za Kiuyu Kigongoni na Kiuyu Minungwini.

Remove ads

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads