Kolomna

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kolomna
Remove ads

Kolomna (Kirusi: Kolomna) ni mji wa Urusi. Ina wakazi 148,000. Iko katika mkoa wa Moscow Oblast.

Thumb
Mahali pa Kolomna
Thumb
Kitovu cha mji wa Kolomna
Thumb

Jiografia

Iko katika sehemu ya kiulaya ya Urusi km 110 kusini ya Moscow kwa 55°05'N na 38°47'E pale ambako mito ya Moskva na Okra inakutana.

Historia

Mji ulianzishwa mwaka mnamo 1177.

Uchumi

Mji umejulikana nchini Urusi kwa sababuya kiwanda kikubwa cha injini za reli.

Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kolomna kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads