Wingu (mtandao)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wingu (mtandao)
Remove ads

Katika utarakilishi, Wingu au Wingu wa utarakilishi (kwa Kiingereza: cloud au cloud computing[1] ) ni kituo cha data kinachotumika ili kukusanya data za watumiaji wengi.

Thumb
Mchoro wa wingu wa utarakilishi.

Unaitwa "Wingu" kwa sababu data hazitunzwi katika kifaa cha kutunzia binafsi cha watumiaji[2].

Mawingu yanaweza kuwa kwa kiasi kwa shirika moja (mawingu ya biashara[3][4]) au kupatikana kwa mashirika mengi (wingu la umma).

Remove ads

Marejeo

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads