Korbiniani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Korbiniani
Remove ads

Korbiniani (670/680 - alifariki Maia, Ujerumani, 8 Septemba 725 hivi) alikuwa mmonaki kutoka Ufaransa au Visiwa vya Britania aliyefanya umisionari kama askofu katika Bavaria ya leo akivuna matunda mengi [1].

Thumb
Mt. Korbiniani na dubu.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads