Korbiniani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Korbiniani (670/680 - alifariki Maia, Ujerumani, 8 Septemba 725 hivi) alikuwa mmonaki kutoka Ufaransa au Visiwa vya Britania aliyefanya umisionari kama askofu katika Bavaria ya leo akivuna matunda mengi [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads