Krispina

From Wikipedia, the free encyclopedia

Krispina
Remove ads

Krispina (Taoura, leo nchini Algeria, karne ya 3 - Tébessa, Numidia, leo nchini Algeria, 5 Desemba 304) alikuwa mwanamke Mkristo aliyeuawa kwa kukatwa kichwa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya makaisari Dioklesyano na Maximian kwa sababu alikataa kutoa sadaka kwa miungu [1].

Thumb
Mt. Krispina kati ya wengineo.

Habari za huyo mama wa familia tajiri zinasimuliwa katika hati za mateso yake zilizoandikwa muda si mrefu baada ya tukio na katika hotuba za Augustino wa Hippo[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Desemba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Filamu

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads