Kutus
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kutus ni mji wa Kenya katika kaunti ya Kirinyaga[1].
Umeunganika na mji wa Kerugoya; kwa pamoja ilikuwa na wakazi 34,014 wakati wa sensa ya mwaka 2009[2].
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads