Kutus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kutus ni mji wa Kenya katika kaunti ya Kirinyaga[1].

Umeunganika na mji wa Kerugoya; kwa pamoja ilikuwa na wakazi 34,014 wakati wa sensa ya mwaka 2009[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads