Kwinidi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kwinidi
Remove ads

Kwinidi (500 hivi - 578 hivi) alikuwa askofu wa 8 wa Vaison-la-Romaine, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 556 [1].

Thumb
Sanamu yake.

Kabla ya hapo alikuwa mkaapweke na shemasi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Februari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads