LB IV Life
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
LB IV Life ni jina la kutaja albamu ya mwisho kutolewa na kundi zima la muziki wa hip hop la Lost Boyz. Mwanachama mwenzao Freaky Tah aliuawa miezi sita kamili kabla ya kutolewa kwa albamu, lakini amefanya mionekano kadhaa kwenye albamu. Albamu imeanguka kibiashara na hata kitahakiki, imeshindwa kufikia kiwango cha Dhahabu, pia imeshindwa kutengeneza kibao kikali cha albamu. Hiyo imepelekea MC Mkuu Mr. Cheeks kuendeleza kazi za kujitegemea baada ya kutoka.
Remove ads
Orodha ya nyimbo
Remove ads
Nafasi za Chati za Albamu
Mwaka | Albamu | Chati | ||
Billboard 200 | Top R&B/Hip Hop Albums | |||
1999 | LB IV Life | #32 | #8 |
![]() |
Makala hii kuhusu albamu za hip hop za miaka ya 1990 bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads