Lost Boyz Forever
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lost Boyz Forever ni albamu ya vibao mchanganyiko kutoka kwa kundi zima la muziki wa hip hop la The Lost Boyz. Mwanachama mmoja wa kundi aliuawa mnamo wa 1999 (Freaky Tah), na wanachama watatu waliobakia wakapagaranyika baada ya kutoka albamu yao ya LB IV Life. DJ Spigg Nice alihukumiwa kifungo baada ya kukutanika na kosa la kushiriki ujambazi wa benki, na kuwaacha Mr. Cheeks na Pretty Lou pekee.
Albamu hii imekusanya vibao vikali kadhaa vya albamu za awali, ikiwa ni pamoja na kibao kama vile "Jeeps, Lex Coups, Bimaz & Benz" na "Renee".
Remove ads
Orodha ya nyimbo
![]() |
Makala hii kuhusu albamu za hip hop za miaka ya 2000 bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads