LGBT

From Wikipedia, the free encyclopedia

LGBT
Remove ads

LGBT (au LGBTQIA+) ni kifupisho cha Kiingereza kinachojumlisha watu wanaojiona au kujiita wasagaji, mashoga, wapenzi wa jinsia mbili, wabadili jinsia, kuchu, mahuntha, na wasio na nyege.

Thumb
Utafiti wa mwaka 2019 (Pew Global Research Poll): Asilimia ya wakazi wanaokubali ushoga uwe halali katika jamii:      0-10%      11-20%      21-30%      31-40%      41-50%      51-60%      61-70%      71-80%      81-90%      91-100%      Hakuna taarifa

Watu hao pengine wanabaguliwa.[1]

Thumb
Hali ya kisheria ya ndoa za jinsia moja duniani.      Ndoa wazi kwa wapenzi wa jinsia moja      Inakubaliwa "miungano ya kiraia"      Ndoa ya watu wa jinsia moja hutambuliwa kikamilifu inapofanywa katika maeneo fulani ya mamlaka      Hata "miungano ya kiraia" kati ya watu wa jinsia moja havitambuliwi kisheria
Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads