La Paz
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
La Paz (pia: Chuqi Yapu) ni mji mkubwa katika nyanda za juu za Bolivia na makao ya serikali na bunge. Hali halisi ni mji mkuu wa nchi hata kama katiba imetaja Sucre kama mji mkuu.
Mji uko kwenye kimo cha mita 3,600 juu ya UB katika bonde la mto Chokeyapu linalohifadhi mji dhidi ya upepo na baridi. Kando ya La Paz umekua mji jirani wa El Alto kwenye tambarare ya juu mahali pasipo hifadhi. El Alto iko m 1000 juu ya La Paz na hapa wamekalia watu maskini katika hali ya hewa ambayo ni baridi zaidi.
Mlima Illimani wenye m 6,462 unasimama juu ya miji miwili ya jirani.
Remove ads
Picha za La Paz
- Kitovu cha mji
- Mji jirani wa El Alto
- Bonde la mwezi (La Luna)
- Kuelekea uwanja wa ndege
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Bolivia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu La Paz kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads