Lafey
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lafey ni mji mdogo wa kaunti ya Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya.
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 ulikuwa na wakazi 22,882[1].
Pia ni kata ya eneo bunge la Lafey[2].
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads