Lafey

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Lafey ni mji mdogo wa kaunti ya Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya.

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 ulikuwa na wakazi 22,882[1].

Pia ni kata ya eneo bunge la Lafey[2].

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads