Lami

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lami
Remove ads

Lami (kwa Kiingereza: asphalt au bitumen) ni aina ya petroli katika hali ya kiowevu au nusumango. Inapatikana katika uasilia (kama huko Trinidad na Tobago) lakini pia inaweza kutengenezwa viwandani.

Thumb
Lami asilia kutoka Bahari ya Chumvi.

Matumizi makuu (70%) ni ukamilishaji wa barabara.

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads