Uasilia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uasilia
Remove ads

Uasilia (kwa Kiingereza: nature, neno linatokana na lile la Kilatini natura ambalo linamaanisha "tabia ya kuzaliwa nayo" na lilikuwa tafsiri ya neno la Kigiriki φύσις, physis lililotumiwa na washairi na wanafalsafa wa kwanza.[1][2][3] ), maana yake ni ulimwengu ulivyokuwa kwa asili, kabla ya binadamu kuuathiri kwa utamaduni na hasa kwa ustaarabu wake, uliokuza teknolojia inayomwezesha kufanya mengi, mazuri na mabaya, pengine mambo yanayoleta faida ya haraka lakini yana madhara makubwa kwa siku za mbele.

Thumb
Hopetoun Falls, Australia.
Thumb
Umeme ukiangaza wakati wa milipuko ya volkeno Galunggung, Java, Indonesia, 1982.

Uasilia wote unasomwa kwa mpango na sayansi katika matawi yake yote.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads