Lebuino

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lebuino
Remove ads

Lebuino (kwa Kilatini Lebuinus; awali: Lebuin, Lebwin au Liafwin[e]; alifariki Deventer, Frisia, leo nchini Uholanzi, 775 hivi) alikuwa mmonaki Mbenedikto kutoka Northumbria (Uingereza) maarufu kwa umisionari wake kama padri katika Uholanzi na Ujerumani za leo akitangaza amani na wokovu katika Kristo kuanzia mwaka 754 hadi kifo chake[1][2].

Thumb
Mt. Lebuino katika mchoro wa ukutani.

Anaheshimiwa tangu zamani na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 12 Novemba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Marejeo mengine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads